KARIBU DULLAH CAKE KWA BIDHAA BORA

Friday, May 20, 2016

ENTERTAINMEN Picha,Jumba walioishi Jay Z na Beyoncé lapanda bei ghafla.

ENTERTAINMENTPicha,Jumba walioishi Jay Z na Beyoncé lapanda bei ghafla.

By Fahamu TV | May 19, 2016

13SHARES

SHARE

TWEET

SHARE

SHARE

0 COMMENTS

Jumbe walilokuwa wakiishi wasanii wakubwa ambao ni mke na mume Jay Z na Beyoncé huko kwenye mitaa ya Bridgehampton kwa sasa limepanda dau na linakodishwa kwa dola milioni 1 kwa mwezi.

Beyoncé na Jay Z walilipia dola $400,000 kwa mwezi ambapo pia walishoot video ya Drunk In Love nyuma ya nyumba hio. Nyumba ina vyumba 12 vya kulala, mabafu 12, na ni dola milioni moja kwa mwezi.

0 comments:

Post a Comment