KARIBU DULLAH CAKE KWA BIDHAA BORA

Friday, May 20, 2016

MIXBreakingNEWS: Rais Magufuli amefuta uteuzi wa waziri

MIXBreakingNEWS: Rais Magufuli amefuta uteuzi wa waziri

By

Rama Mwelondo TZA

on

May 20, 2016

30SHARES

COMMENTS

May 20 2016 habari zilizoingia katika headlines ni maamuzi ya Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli kuamua kutengua uteuzi wa wa waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Charles Kitwanga.

Rais Magufuli amemfuta waziri Kitwangakutokana na waziri huyo kuingia Bungeni kujibu swali linalohusu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi akiwa amelewa.

0 comments:

Post a Comment